Fareedahmoh

Makundi ya bidhaa zetu

Image
Image
Image
Image

Tunazo bidhaa mbalimbali kutoka kwtu sisi wenyewe na nyingine kutoka kwa watoa huduma waaminifu katika ubora na afya yako.

Menu

Samaki

Tunao samaki wa maji baridi, chumvi na kutoka kigoma, pamoja na hao zipo dagaa na Vibambala n.k

Nyama

Tunazo nyama za kuku ( kienyeji na kisasa) ng'ombe, iliyosagwa, soseji n.k

Viungo

Tunavyo viungo vya kutumia wakati wote kuanzia chai hadi chakula cha usiku.

Nafaka

Tunao unga wa sembe,dona,basmat,lishe n.k

Mbogamboga

Tunacho Kisamvu, Njegele, Makande, Maharagwe n.k

Mahitaji mengine

Pamoja na hayo tunazo bidhaa nyingine kama mayai, mafuta,maziwa nk