Hatuuzi bora bidhaa, bali kwetu tunauza bidhaa bora kwa afya na mwili wako.
Jipatie mboga fresh kabisa kwa ubora wa afya na ladha halisi.
Viungo sahihi ni siri ya mapishi mazuri,jipatie sasa
Kuhusu sisi
Fareedahmoh ni chapa ya kizawa ambayo tuliangalia kuhusu kuboresha afya na kuongeza nguvu kazi ya taifa yapo maeneo mengi yenye kuhitaji nguvu nasi tukachagua eneo la afya kupitia chakula cha mlaji wa kila siku. Nia ni kumpa mlaji afya na sio utamu pekee kupitia bidhaa husika.
Hivi sasa tunayo bucha inayohudumia watu kwa bidhaa na mahitaji ya jikoni, kuhakikisha kuwa mlaji anapata kilicho bora kwa afya yake lakini kilicho halisi ili kupata ladha na virutubisho vyake pia. Afya yako ni muhimu sana na chakula tunachokula ni dawa ndani ya maiili yetu hivyo tunahitaji sasa kuingiza mwilini kile kilichobora kuanzia upatiakanaji uandaaji lakini hadi ulaji wenyewe. Kwetu Fareedahmoh tunaamini Afya kwanza halafu utamu baadae.
WhatsappFareedahmoh
Tunazo bidhaa mbalimbali kutoka kwtu sisi wenyewe na nyingine kutoka kwa watoa huduma waaminifu katika ubora na afya yako.
MenuTunao samaki wa maji baridi, chumvi na kutoka kigoma, pamoja na hao zipo dagaa na Vibambala n.k
Tunazo nyama za kuku ( kienyeji na kisasa) ng'ombe, iliyosagwa, soseji n.k
Tunavyo viungo vya kutumia wakati wote kuanzia chai hadi chakula cha usiku.
Tunao unga wa sembe,dona,basmat,lishe n.k
Tunacho Kisamvu, Njegele, Makande, Maharagwe n.k
Pamoja na hayo tunazo bidhaa nyingine kama mayai, mafuta,maziwa nk
Mawasiliano
Ilala - kituo cha basi Amana
+255 620 102207
info@fareedahmoh.co.tz