Image

Kuhusu sisi

Faredahmoh Organic & Fresh

Fareedahmoh ni chapa ya kizawa ambayo tuliangalia kuhusu kuboresha afya na kuongeza nguvu kazi ya taifa yapo maeneo mengi yenye kuhitaji nguvu nasi tukachagua eneo la afya kupitia chakula cha mlaji wa kila siku. Nia ni kumpa mlaji afya na sio utamu pekee kupitia bidhaa husika.

Hivi sasa tunayo bucha inayohudumia watu kwa bidhaa na mahitaji ya jikoni, kuhakikisha kuwa mlaji anapata kilicho bora kwa afya yake lakini kilicho halisi ili kupata ladha na virutubisho vyake pia. Afya yako ni muhimu sana na chakula tunachokula ni dawa ndani ya maiili yetu hivyo tunahitaji sasa kuingiza mwilini kile kilichobora kuanzia upatiakanaji uandaaji lakini hadi ulaji wenyewe. Kwetu Fareedahmoh tunaamini Afya kwanza halafu utamu baadae.

Whatsapp

Fareedahmoh

Makundi ya bidhaa zetu

Image
Image
Image
Image

Tunazo bidhaa mbalimbali kutoka kwtu sisi wenyewe na nyingine kutoka kwa watoa huduma waaminifu katika ubora na afya yako.

Menu

Samaki

Tunao samaki wa maji baridi, chumvi na kutoka kigoma, pamoja na hao zipo dagaa na Vibambala n.k

Nyama

Tunazo nyama za kuku ( kienyeji na kisasa) ng'ombe, iliyosagwa, soseji n.k

Viungo

Tunavyo viungo vya kutumia wakati wote kuanzia chai hadi chakula cha usiku.

Nafaka

Tunao unga wa sembe,dona,basmat,lishe n.k

Mbogamboga

Tunacho Kisamvu, Njegele, Makande, Maharagwe n.k

Mahitaji mengine

Pamoja na hayo tunazo bidhaa nyingine kama mayai, mafuta,maziwa nk

Mawasiliano

Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi

Anwani :

Ilala - kituo cha basi Amana

Simu

+255 620 102207

Email

info@fareedahmoh.co.tz

Follow Us